• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

BAJETI ya Halmashauri ya Madaba ilivyolenga vipaumbele katika Maendeleo

Posted on: March 12th, 2021

HALMASHAURI ya Madaba imepanga  kukusanya na kutumia zaidi ya shilingi bilioni 12 kwaajili ya Maendeleo mwaka 2021-2022.

Akitoa taarifa ya mafanikio ya mwaka 2019-2020 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Shafi Kassim Mpenda amesema imetokana na usimamizi na elimu inayotolewa kwa watu wanaolipa ushuru na kodi mbalimbali.

Mpenda amesema usimamizi wa fedha umeendelea kuimalika kutokana na mifumo inayoongoza na ufanyanyaji kazi wa mfumo wa udhibiti wa fedha EPICA ambao unaongoza uwazi na uwajibikaji katika mchakato mzima wa malipo.

Aidha Mpenda amesema Halmashauri kufikia sasa imeanza kutoa asilimia 10  ambayo ni matakwa ya kisheria kuhakikisha kwamba wanatimiza wajibu uliopangwa,ni mafanikio ambayo yamepatikana  kwa asilimia 91 ya kadilio la milioni 74 kwa mwaka.

Amesema katika uandaaji wa bajeti wa mwaka 2021-2022  amesema Halmashauri imezingatia miongozo na maelekezo mbalimbali ya Serikali ikiwemo ukusanyaji wa mapato  na utendaji wa Rasilimali fedha mpango  wa maendeleo ya Taifa wa miaka mitano 2021 mpaka 2025 mpango huo unazingatia vipaumbele vya kisekta kama vile Fedha,Elimu,Mifugo,uvuvi,Afya, uthibibiti wa maji taka,Utalii na Viwanda.

“Halmashauri imezingatia katka uandaji wa bajeti 2021-2022  Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya uchaguzi mkuu 2020 hotuba ya Mh.Rais  wa Tanzania na hotuba ya Waziri Mkuu  na ziara yake ya tarehe 4 mpaka 7  Januari Mkoani Ruvuma kuzingatia maswala mtambuka kama Magonjwa ya Ukimwi,Maafa,Mazingira na Rushwa,mkakati wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini  pamoja na maelekezo mbalimbali yanayotolewa na viongozi wa Mkoa na Taifa”.

Mwenyekiti wa Halmashauri Teofanes Mlelwa wakati akifunga kikao hicho amewataka wataalamu wa Halmashauri hiyo  kuzingatia na kufanya kazi aliyoajiliwa bila kuingilia kazi ya mwingine.

“Waheshimiwa Madiwani mkafanye kazi kwa bidii pamoja na kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao,Bajeti mmeipitisha zaidi tunahitaji ushirikiano katika utendaji”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa habari Halmashauri ya Madaba

Machi 12,2021.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa