• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

AFISA Elimu Msingi Madaba atoa rai kwa Wazazi kuandikisha Wanafunzi Mwaka 2024

Posted on: October 20th, 2023

MKUU wa Idara ya Elimu Msingi Saada Chwaya ametoa rai kwa wananchi kuandikisha wanafunzi wa awali,darasa la kwanza,MEMKWA pamoj na wenye ulemavu (Wenye mahitaji maalum) kuanzia miaka 5.

Hayo alisema alipozungumza na wananchi wa Kijiji cha Ngadinda Kata ya Gumbiro amesema uandikisha huo umeanza rasmi Oktoba 1,2023 na mwisho wa uandikisha utakuwa Disemba 31,2023.

“Mkiwaandikisha Watoto kwa wingi itawasaidia kupata fedha kwaajili ya ujenzi wa Shule shikizi katika Kata hii ya Gumbiro tunaomba mjitahidi watoto wote wenye umri wa kwenda shule waandikishwe”.

Hata hivyo Chwaya amesema mtoto aandikishwe shule iliyo karibu na anapoishi ili kuepuka kutembea umbali mrefu .

Mkurugenzi Mtendaji amesisitiza kuwalinda wototo na kuwahimiza kusoma ikiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatoa fedha kwaajili ya kuboresha miundombinu ya Shule.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Oktoba 20,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa