• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RAIS SAMIA ametukomboa Ifinga

Posted on: November 1st, 2022

WATUMISHI wa Ifinga Kata ya Matumbi Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma walikuwa wanatumia nusu ya Mshahara wao kwa safari ya kutafuta mawasiliano ya simu.

Wananchi hao walikuwa wanakodi pikipiki kwa shilingi 15,000 hadi eneo lenye mtandao wa simu ilikupata mawasiliano ya mtandao wa simu.

Akitoa historia ya kijiji hicho cha Ifinga kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololeth Mgema  amesema kijiji hicho tangu uhuru kilikuwa na changamoto nyingi ambazo sasa Serikali  ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Hassan Suluhu  imezipatia ufumbuuzi wa kudumu.

Mgema amezitaja changamomoto hizo ambazo zimekwisha kutatuliwa ikiwemo matengenezo ya Barabara ,Kuweka huduma ya Mawasiliano ya simu ,kuweka huduma ya maji bomba na kuanza mradi wa ujenzi wa kituo cha afya.

“Ifinga ni kijiji pekee mkoani Ruvuma ambacho kipo kilomita 48 kutoka barabara kuu ya Songea –Njombe  ambacho kinaunda kata ya Matumbi  yenye kijiji kimoja cha Ifinga”.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa