• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MWENYEKITI Madaba aagiza kuezeka Kituo cha Afya Ifinga Mara Moja

Posted on: September 24th, 2023

SERIKAI ya awami ya Sita inayoongozwa na Rais Samia imetoa shilingi Milioni 50 kwaajili ya umaliziaji wa ujenzi wa Kituo cha Afya Kijiji cha Ifinga Kata ya Matumbi Halmashauri ya Madaba.

Mtendaji Kata ya Matumbi Baraka Simunga akitoa taarifa kwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Madaba Teofanes Mlelwa alipokagua mradi huo amesema mradi  ulianzishwa kwa nguvu za wananchi kwa ufyatuzi wa tofari Mwaka 2022 Julai kwa hatua ya Msingi.

Hata hivyo Simunga amesema  Halmashauri ya Madaba walitoa Milioni 31 ya Mapato ya ndani kwaajili ya ununuzi wa vifaa vya Viwandani pamoja na malipo ya fundi  na ukamilishaji wa boma.

Amesema Wawekezaji waliowekeza katika kijiji hicho akiwemo Mufindi woodpoles Planting Timber Ltd walitoa Milioni 10 pamoja na mifuko 200 ya saluji na Shamba la Miti Wino TFS walitoa Mifuko 150 ya Saluji ambayo imetumika kupiga lipu jingo hilo.

“Tunatarajia kupokea Shilingi Milioni 23,676,000 kutoka kwa Mwekezaji Mufindi Woodpoles  planting timber Ltd kwaajili ya ununuzi wa  Mbao na bati za kuezekea Jengo hilo kabla ya Mwezi Octoba,2023”.

Mtendaji amewashukuru wawekezaji  waliowekeza katika Kijiji cha Ifinga,Serikari ya awamu ya sita na uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kwa kujali miradi inayoanzishwa kupitia nguvu za wananchi na kuikamilisha.

Mwenyekiti wa Halmshauri hiyo Teofanes Mlelwa ametoa maagizo kwa uongozi wa Kijiji  kuhakikisha jengo hilo la Kituo cha Afya linaezekwa mara moja kabla ya mvua kuanza

Imeandaliwa na Aneth ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halamshauri ya Madaba

Septemba 24,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa